Wednesday, 25 March 2015

Jumba la kifahari la Msanii Diamond Platnumz{TZ}, jiko & choo vikiwa na thamani ya Sh,milioni 70


Tumekuwa tukiona nyumba za mastaa wa nje ambazo huwa na vitu vingi vya kifahari kama mabwawa ya kuogelea, tv kwenye choo na mabafu na hata jikoni. Hii ni nyumba ya msanii kutoka Tanzania Diamond Platnumz iliyopo Dar es salaam maeneo ya Tegeta.Diamond ametuonyesha Jiko, na Sehemu ya kuogelea, na sehemu tofauti kwenye nyumba hiyo.





     "NOMA"

No comments: