Thursday, 16 April 2015

Lord Eyez na Ray C Wafanya Ngoma ya pamoja..

Rapa wa Kundi la Weusi Lord Eyes amefanyiwa mahojiano na Radio Clouds Fm nakusema kuwa  ameshafanya kazi na mpenzi wake wa kitambo ambaye pia ni msanii wa bongo fleva Ray C.
Lord Eyez amethibitisha kuwa wimbo huo umepewa jina la ‘Matatizo’ na umefanyika katika studio za Mangugu Digital chini ya Producer Shaqee. Wimbo una stori kuhusu mambo tofauti tunayopitia kwenye maisha.
ZAIDI STAY TUNED............... 

No comments: