Friday, 10 April 2015

PICHA-MGOMO WA MADEREVA LEO-UBUNGO BUS TERMINAL.

Leo asubuhi ya mapema,madereva wa mabasi yaendayo mikoani na wabeba abiria wa kawaida yaani city bus,wameamua kugoma kutokana na sababu zao binafsi na hii ndio ghasia iliyotokea asubuhi hii
Continued after the jump ....
Kwa baadhi ya watu tuliofanya nao mahojiano wanadai kwamba mgomo huu waliutangaza tangu jana,na tulipo jaribu kuuliza sababu za mgomo huo ni kutokana na tamko la SUMATRA kuwadai wapunguze bei za usafiri kutokana na kushuka kwa bei za mafuta.Lakini maderva hawa wamegoma na kuanzisha mgomo na kusababisha fujo kubwa kama hii.
 

No comments: