![]() |
| Diamond Platnumz. |
Kuonyesha hali ya kupatikana suluhu kati yao,Manecky aliweka picha yake na Diamond wakiwa pamoja kwenye studio yake ya Am Records akiambatanisha Picha hiyo na ujumbe wa kusamehana, kwa mujibu wa post yake imeonekana ni meneja wa Diamond Platnumz ndiye aliyefanikisha kumalizika kwa mzozo huo. Haya ndiyo maneno yanayosomeka kwenye post yake
“Kwa Mara nyingine Tena”In life tujifunze kusamehe na kusahau hakuna ajuae Kesho#aboutLast9te#Ramadankareem #AmRecordsHoMeGoodMusic
UNAJUA VILE TUNAFANYAGA WHEN MOND meets NeCk..
I missed workin with him Sasaaa Basii… @babutale ubarikiwe Boss ”
HII HAPA NI CLIP INAYOMUONYESHA PRODUCER MANECKY WA AM RECORDS AKILIONGELEA HILO NA NINI KITAFUATA BAADA YA WAO KUPATANA,



No comments:
Post a Comment