Wednesday, 8 July 2015

Shibuda aiandikia barua Kamati Kuu CHADEMA kuomba kukoma Uanachama.

Mh John Shibuda
Mh John Shibuda ameiandikia barua kamati kuu ya chadema na kuomba kukoma kuwa mwanachama wa Chadema baada ya bunge hili kuvunjwa.

-Kwa muda mrefu sasa Mbunge John Shibuda amekuwa na mgogoro wa kimyakimya na Chama Chake.akituhumiwa kuwa ni mamluki ndani ya chama hicho.

Nayo Kamati kuu ya Chama hicho imeridhia na kumtakia safari njema,na mafanikio mema huko aendako.

   ( Tunamshukuru kwa kutumia angalau busara, anaelewa nini maana ya siasa ) iliripoti taarifa toka Chadema.

No comments: