![]() |
| Mh,Edward Lowassa |
Hii ni baada ya Mh,Edward Lowassa kada aliyekosa nafasi kati ya makada watano waliopitishwa na kamati kuu ya CCM kuendelea na mchakato wa kumpata mgombea mmoja atakayekiwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu 2015, kushangiliwa kwa nguvu na wajumbe wa kikao hicho muda mfupi baada ya kuwasili kwenye mkutano huo leo.
WAWEZA KUWASIKILIZA WAJUMBE WA KIKAO HICHO WAKIPIGA SHANGWE ZA KUTOSHA BAADA YA Mh,LOWASSA KUINGIA UKUMBINI HAPO,

No comments:
Post a Comment