Anaye daiwa kuwa mhasibu wa QUALITY Group DSM.akamatwa na na mabegi ya
fedha zaidi ya Shs.Milion 725 zinazodaiwa kuwagawia wajumbe wa mkutano
mkuu wa CCM mjini Dodoma ili kumchagua kigogo mmoja.
Taarifa zaidi tutawafahamisha kadiri zitakavyo thibitishwa na mamlaka zinazoendelea na Uchunguzi.
TAZAMA VIDEO YA TUKIO LENYEWE HAPO CHINI,
Taarifa zaidi tutawafahamisha kadiri zitakavyo thibitishwa na mamlaka zinazoendelea na Uchunguzi.
TAZAMA VIDEO YA TUKIO LENYEWE HAPO CHINI,
No Comments
Posted by Hassan Khamis on Saturday, July 11, 2015




No comments:
Post a Comment