Wednesday, 8 July 2015

Staa wa muziki Nigeria aliyeunga mkono ndoa za jinsia moja.

Kiss Daniel.
Staa wa muziki kutoka nchini Nigeria "Kiss Daniel" anaye hit kwa sasa na wimbo wake ‘Woju’ amesema anaelewa na kuunga mkono ndoa za jinsia moja.
Katika ujumbe wake Kiss Daniel amempa big up Rais wa Marekani Barack Obama kwa kukubali na kupitisha sheria hiyo nchini kwake.
Fahamu kuwa Nigeria wanapinga kwa nguvu zote ndoa za jinsia moja.
Na hiki ndicho msanii Kiss Daniel alichokiandika Instagram
Ok, so, g@y marriage is legalized in the U.S? Some are mad, some are indifferent, some are glad. Straight or G@y, what matter is we’ve got a heart that can love. Love is love and love always wins. Barrack Obama, peace
 WAWEZA KUIANGALIA "Remix" YA HIT SONG YAKE "Woju" SINGLE ILIYOMTAMBULISHA VYEMA KWENYE MUZIKI,

No comments: