![]() |
| Marehemu Deo Filikunjombe. |
![]() |
| Capt William Silaa. |
Pia maandalizi ya Mazishi ya Marehemu yanaendelea Nyumbani kwake Mtoni Kijichi jijini Dar es salaam.
Ukibonyeza play hapo chini utazisikia dakika sita za mahojiano ya mwisho kati ya Deo Filikunjombe na millardayo.com kwenye msiba wa Mwenyekiti wa chama cha DP Mchungaji Christopher Mtikila ambapo alizungumzia kifo cha Mtikila pamoja na jimbo la Ludewa.



No comments:
Post a Comment