![]() |
Mh,Joseph Desderius Mbilinyi"Sugu" |
---Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wabunge waliochaguliwa majimboni hadi sasa ni 257 kati ya 264. Majimbo saba hayajafanya uchaguzi kutokana na sababu mbalimbali, ikiwamo vifo vya wagombea na uhaba wa vifaa.
Chanzo-Mwananchi.
No comments:
Post a Comment