Tuesday, 29 March 2016

MSICHANA MWENYE AKILI KULIKO MABALEE WOTE DUNIANI.

HUYU ndiye Msichana mwenye akili kuliko mabalee wote duniani

Anaitwa Suhaila Ibrahim ana miaka 15 mnaijeria, anatajwa kuwa ndio msichana mwenye akili kuzidi watu wote wa umri wake, mpaka kufikia kupewa zawadi ndani ya Ikulu ya Marekani (White house) na raisi Barack Obama.


Chanzo-Kambi Kuu

No comments: