Thursday, 25 September 2014

MABINTI WA MARAIS WA AFRIKA WANAOTIKISA

Ange Paul Kagame

Ni binti wa Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Alizaliwa mwaka 1989. Kwenye mitandao amekuwa akisifiwa kuwa ni ndiye binti wa marais Africa mrembo kuliko wengine.
Faith Sakwe Jonathan
Huyu ni mtoto wa Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan. Amefunga ndoa Aprili, mwaka huu. Naye anatajwa na mitandao kwamba ni mrembo.
Nyepudzayi Bona Mugabe
Ana miaka 24. Ni binti wa Rais wa Zimbabwe, Robert Gabriel Mugabe. Ni binti aliyetikisa mitandaoni kutokana na mambo mbalimbali ya kijamii. Amefunga ndoa hivi karibuni 
Ngina Uhuru Kenyata.
Huyu ni mtoto wa wa rais wa kenya Uhuru Kenyata,aliyelikuza sana jina la mzazi wake wa kike,kwa jinsi wakenya wanavyomuita Mama Ngina.
Diana Karuguiye Museveni

Ni binti wa Rais wa Uganda, Joel Kaguta Museven. Amefunga ndoa. Mitandao inamtaja ni binti aliyetulia ndiyo maana akapigwa jicho na mwanaume na kufunga ndoa.

No comments: