![]() |
Flora Mvungi na Kabinti kake. |
Akizungumza na mwandishi wa GPL, Flora alisema baadhi ya mastaa wamekuwa na dhana potofu kwamba, ukizaa unazeeka na utakuwa hufanyi starehe, jambo ambalo halina ukweli.
“Mimi nawashauri wazae tu, kuzaa kuna raha yake bwana. Unajua starehe haziishi, kikubwa ni wao kuzaa fasta kisha mambo mengine yanaendelea huku tayari wakiwa wameshaweka ile heshima ya kuitwa mama,” alisema Flora.
Flora Mvungi ni mke wa msanii HBABA ambapo Ndoa yao ilifungwa mwaka jana,kwa muongozo wa dini ya kiislam.
No comments:
Post a Comment