![]() |
| Pichani ya pili kushoto ni Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Sudi Odemba, akipokea kadi za Mwapachu leo katika ofisi ya Kata Mikocheni Jijini Dar es Salaam |
Balozi Juma Mwapachu amerudisha kadi za TANU na CCM. Asema atatangaza chama atakachojiunga ila anamuunga mkono Mgombea Urais wa CHADEMA Edward Lowassa
-Amerudisha kadi zake kwa Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, mtaa wa Mikocheni A, Jijini Dar.


No comments:
Post a Comment