![]() |
| Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter |
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter ameripotiwa akisema kuwa anashtumiwa bila ushahidi wa makosa aliyofanya.
Blatter anakabiliwa na uchunguzi kwa tuhuma za kutekeleza uhalifu wakati wa uongozi wake katika FIFA.
'Hakuna mashtaka',raia huyo mwenye umri wa miaka 79 aliliambia jarida moja la Ujerumani Bunte.
![]() |
| Chung Mong-Joon |


No comments:
Post a Comment