![]() |
| Pichani,Maafisa Wasimamizi wa Shughuli za BUNGE wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu muda mfupi ulipowasili kwenye Viwanja vya Karimjee tayari kwa zoezi la kuaga. |
![]() |
| Baadhi ya Wanafamilia. |
![]() |
| Mufti Abubakary Zubery akiongoza Swala la kumswalia Marehemu Abdallah Kigoda. |
![]() |
| Spika wa Bunge la Tanzania Mama Anna Makinda akitoa Salamu za Bunge. |
![]() |
| Waziri Mkuu Bw,Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Abdallah Kigoda. |










No comments:
Post a Comment