![]() |
Goodluck Ole Medeye |
Ole Medeye, Mbunge wa Arumeru Magharibi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) aliwahi pia kuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi katika utawala wa awamu ya nne wa Rais mstaafu Jakaya Kikwete, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeelezwa ndiye atakayewania nafasi hiyo.
Akizungumza , Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Profesa Abdallah Safari, alisema hadi jana, mgombea pekee aliyekuwa anamfahamu ameshatangaza nia ya kuwania nafasi hiyo, alikuwa ni Ole Medeye.
No comments:
Post a Comment